Sunday, 21 January 2018

vitunguu

Vitunguu maji ni zao linalohitaji maji  ya kutosha. Ili zao hili listawi zaidi,basi hatuna budi tuwe na jitihada  kubwa katika  zoezi  zima  la kushirikiana katika kumwagilia, Endapo zao  hili halitopata maji ya kutosha basi hatuwezi kupata mazao yaliyo bora kwa sababu uzalishaji wake utakuwa ni mdogo sana  kutokana na kudumaa kwa mazao  hayo. Hivyo basi tunashauriwa kutumia mbolea na kufuata kanuni mbalimbali tunazoshauriwa na wataalamu wa kilimo juu ya zao hili.



No comments:

Post a Comment